WILFRED NDIDI |
Beki
Mnigeria, Wilfred Ndidi ameianza Ligi Kuu England timu yake ya
Leicester City inakutana na kipigo cha mabao 3-0 kutoka kwa Chelsea.
Ndidi ametokea Genk ya Ubelgiji ambayo alikuwa akicheza pamoja na nahodha wa Taifa Stars, Mbwana Samatta.
Genk
imekuwa ikisifika kwa kuuza wachezaji kwenye timu mbalimbali kubwa za
Ulaya. Maana yake kama Samatta ataendelea kufanya vizuri, kuna nafasi ya
kufanya kuuzwa pia.
Kila la kheri Wilfred Ndidi.
0 Maoni:
Post a Comment