Mashabiki wa West Ham United, sasa hawataki kusikia jina Dimitri Payet ambaye alikuwa shujaa wao msimu uliopita.
Payet
raia wa Ufaransa anataka kuondoka West Ham na inaelezwa huenda akarejea
kwao Ufaransa na PSG ni moja ya timu zinazohusishwa kumtaka.
Ili apae nafasi hiyo, amegomea mazoezi. Jambo ambalo limewaudhi mashabiki ambao wamekuwa wakiweka alama ya X kwenye jezi zake.
Kama hiyo haitoshi, askari wamelazimika kufanya ulinzi kwenye picha zake uwanjani ili zisichanwe.
TAKWIMU ZAKE KATIKA TIMU MBALIMBALI ALIZOCHEZA.
AS Excelsior (2004-05): 36 games, 12 goals
Nantes (2005-07): 34 games, 5 goals
Saint-Etienne (2007-11): 148 games, 25 goals
Lille (2011-13): 94 games, 19 goals
Marseille (2013-15): 83 games, 15 goals
West Ham (2015-): 60 games, 15 goals
TOTAL: 454 games, 91 goals
0 Maoni:
Post a Comment