Arsenal iko dimbani ugenini Stamford Bridge dhidi ya vinara wa Ligi Kuu England, Chelsea.
Kocha Arsene Wenger mwenye adhabu ambaye atakaa jukwaani hii leo, tayari amemaliza maandalizi ya kikosi chake.
Wenger
raia wa Ufaransa analazimika kukaa jukwaani kutokana na adhabu yake ya
kutokaa kwenye benchi kwa mechi tatu kati ya nne baada ya kuonyesha
ubabe wake kwa mwamuzi.
0 Maoni:
Post a Comment