HATA MARIO BALOTELLI ANAIJUA KRISMASI?????


Taswira zikimuonyesha Mario Balotelli akiwa amevaa kofia ya Father Krismasi mara tu baada ya kuisidia Nice kuitwanga Dijon na kuendelea kujishindilia kileleni mwa Ligi Kuu ya Ufaransa.


Unaweza kujiuliza, he! Kumbe hata Balotelli anaijua Krismasi? Maana ni mtukutu, unaweza kudhani hapati huo muda. Lakini taswira hizi tatu zinaweza kukuthibitishia hilo. Hii ni picha ya siku unayoweza kuanza nayo Krismasi.


Share on Google Plus

About KASSIM OMARY

HII NI BLOG AMBAYO ITAKUWA INAKUPA HABARI MOTOMOTO ZA KIMICHEZO NA HABARI KWA UJUMLA
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 Maoni:

Post a Comment