CHELSEA WAZIDI KUJIZATITI KILELENI EPL.

Tokeo la picha la DIEGO COSTA IMAGE

VINARA wa EPL, Ligi Kuu England, Chelsea, Jana wamezidi kujizatiti kileleni baada ya kuichapa Hull City 2-0 huko Stamford Bridge.
 
Ushindi huu umeiweka Chelsea kuwa Pointi 8 mbele ya Timu ya Pili Arsenal.

Bao za ushindi wa Chelsea zilifungwa na Diego Costa na Garry Cahill katika Dakika za 52 ya Kipindi cha Kwanza na 81.

Kipindi cha Kwanza cha Mechi hii kilirefushwa kwa Dakika 7 baada ya kusimama kumtibu Majeruhi Mason wa Hull City kwenye Dakika ya 21.

Mechi inayofuata kwa Chelsea ni Ugenini huko Anfield hapo Jumanne Januari 31.

VIKOSI:
Chelsea (Mfumo 3-4-3): Courtois; Azpilicueta, David Luiz, Cahill; Moses, Kante, Matic, Alonso; Pedro, Diego Costa, Hazard.
Akiba: Begovic, Ake, Zouma, Chalobah, Fabregas, Willian, Batshuayi.
Hull (Mfumo 3-5-1-1): Jakupovic; Maguire, Dawson, Davies; Elabdellaoui, Mason, Huddlestone, Clucas, Robertson; Evandro; Hernandez.
Akiba: Marshall, Meyler, Diomande, Maloney, Niasse, Tymon, Bowen.
Tokeo la picha la Neil Swarbrick IMAGE
Neil Swarbrick.
Share on Google Plus

About KASSIM OMARY

HII NI BLOG AMBAYO ITAKUWA INAKUPA HABARI MOTOMOTO ZA KIMICHEZO NA HABARI KWA UJUMLA
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 Maoni:

Post a Comment