HUU NDIYO MWONEKANO MPYA WA BASI LA SIMBA, KAMA UNA MAONI TAFADHARI TUPIA


Basi la klabu ya Simba aina ya Yu tong sasa lina muonekano mpya baada ya wadhamini TBL kupitia Kilimanjaro kutoongeza mkataba mpya.


Mwonekano wake safari hii, kuna picha za wachezaji mbalimbali. Je, una maoni kuhusiana na mwonekano wake?





Share on Google Plus

About KASSIM OMARY

HII NI BLOG AMBAYO ITAKUWA INAKUPA HABARI MOTOMOTO ZA KIMICHEZO NA HABARI KWA UJUMLA
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 Maoni:

Post a Comment