MUONEKANO WA JEZI ATAKAYOVAA ULIMWENGU ATAKAPOTUA NCHINI SWEDEN.



Mtanzania Thomas Ulimwengu anatarajia kutua nchini Sweden kesho kumalizana na klabu ya AFC.

Ulimwengu atakapomalizana na kusajiliwa AFC iliyopanda Ligi Kuu Sweden ‘Allsvenskan’ msimu huu, atakuwa akivaa jezi ya rangi ya ‘orange’ au rangi ya Fanta.


Huu ndiyo mwonekano wa jezi za AFC ambazo Ulimwengu aliyetokea klabu hiyo hiyo na kujiunga na TP Mazembe atakuwa akivaa.
Share on Google Plus

About KASSIM OMARY

HII NI BLOG AMBAYO ITAKUWA INAKUPA HABARI MOTOMOTO ZA KIMICHEZO NA HABARI KWA UJUMLA
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 Maoni:

Post a Comment