EPL-ENGLIND: KULIPUKA TENA NA DABI YA MERSEYSIDE LIVERPOOL-EVERTON, JUMAPILI ARSENAL-MAN CITY!

JUMAMOSI MAN UNITED OLD TRAFFORD NA WBA!
 Tokeo la picha la EPL IMAGE
 
EPL, LIGI KUU ENGLAND, baada ya kukosekana kwa kupisha Mechi za Kimataifa sasa inarejea kwa kishindo kuanzia Jumamosi na kisha Jumapili kwa Timu zote 20 kuingia Dimbani.
 
Timu hizo 20 zitarejea tena dimbani Jumanne na Jumatano.
Jumamosi fungua dimba ni huko Anfield ambako Mahasimu Liverpool na Everton watavaana kwenye Dabi ya Merseyside ambacho ni Kitongoji maarufu cha Jiji la Liverpool.
 
Mechi hiyo itafuatiwa na Mechi 6 zitakazoanza Saa 11 Jioni na baadhi yake ni Tottenham kuwa Ugenini kucheza na Burnley, Vinara Chelsea wako Nyumbani kuikwaa Crystal Palace, Mabingwa Leicester wako kwao kucheza na West Ham wakati Man United wako Nyumbani Old Trafford kuivaa West Bromwich Albion.
 
Jumamosi itafungwa kwa Mechi ya Usiku kati ya Southampton na Bournemouth.
 
EPL itaendelea Jumapili kwa Mechi 2 na ya kwanza ni Swansea City na Middlesbrough na kufuatiwa na hekaheka huko Emirates kati ya Arsenal na Man City.
 
MSIMAMO WA EPL KWA SASA.
 
EPL-MAR18C
 

























EPL – Ligi Kuu England Ratiba:
 
Jumamosi Aprili 1
1430 Liverpool v Everton           
1700 Burnley v Tottenham Hotspur                
1700 Chelsea v Crystal Palace             
1700 Hull City v West Ham United        
1700 Leicester City v Stoke City           
1700 Manchester United v West Bromwich Albion               
1700 Watford v Sunderland                 
1930 Southampton v Bournemouth                

Jumapili Aprili 2
1530 Swansea City v Middlesbrough              
1800 Arsenal v Manchester City           
 
Jumanne Aprili 4
2145 Burnley v Stoke City         
2145 Leicester City v Sunderland         
2145 Watford v West Bromwich Albion           
2200 Manchester United v Everton                
 
Jumatano Aprili 5
2145 Arsenal v West Ham United         
2145 Hull City v Middlesbrough            
2145 Southampton v Crystal Palace               
2145 Swansea City v Tottenham Hotspur        
2200 Chelsea v Manchester City          
2200 Liverpool v Bournemouth             
 
Jumamosi Aprili 8
1430 Tottenham Hotspur v Watford               
1700 Manchester City v Hull City         
1700 Middlesbrough v Burnley             
1700 Stoke City v Liverpool                 
1700 West Bromwich Albion v Southampton             
1700 West Ham United v Swansea City          
1930 Bournemouth v Chelsea              
 
Jumapili Aprili 9
1530 Sunderland v Manchester United           
1800 Everton v Leicester City              
 
Jumatatu Aprili 10
2200 Crystal Palace v Arsenal 
Share on Google Plus

About KASSIM OMARY

HII NI BLOG AMBAYO ITAKUWA INAKUPA HABARI MOTOMOTO ZA KIMICHEZO NA HABARI KWA UJUMLA
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 Maoni:

Post a Comment