MRISHO HALFAN NGASA ASAINI NA TIMU HII

mrisho
Habari zilizonifika hivi sasa ni kwamba Mrisho Ngassa alikuwa jijini Mbeya kwa ajili ya mazungumzo na Mbeya City ambao wanataka kumpa mkataba wa miaka miwili. 

Taarifa za ndani zinasema kwamba Mrisho Ngassa ameshasaini na timu hiyo hivyo atakuwa anakipiga na timu hiyo. Ndada walitaka kumpa mkataba wa miezi sita lakini wameshindwa kukubaliana kutokana na mambo ya maslahi.

Mrisho Ngassa aliwahi kupata mafanikio uwanjani alivyokua anacheza na club ya Yanga na baadae kwenda kucheza nchini South Africa.
Share on Google Plus

About KASSIM OMARY

HII NI BLOG AMBAYO ITAKUWA INAKUPA HABARI MOTOMOTO ZA KIMICHEZO NA HABARI KWA UJUMLA
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 Maoni:

Post a Comment