KAMA TAMBWE VILEE...



Mshambuliaji Amissi Tambwe wa Yanga alilambwa kadi ya njano baada ya kuifungia timu yake bao katika mechi dhidi ya Ndanda juzi kwenye Uwanja wa Uhuru jijini Dar.



Tambwe alikumbana na kadi hiyo baada ya kufunga bao safi kabisa, lakini wakati anakwenda kushangilia akakirukia kibendera na kukipiga teke, kikavunjika.



Diego Costa wa Chelsea, naye ameendelea kukirukia kibendera kwa mara nyingine baada ya kuifungia timu yake dhidi ya Stock City katika ushindi wa mabao 4-2. 





Kibendera alichokirukia Costa hakikuvunjika maana si cha Mchina. Lakini kile alichokirukia Tambwe wakati Yanga iliposhinda 4-0. Mh! napata mashaka juu ya kibendela alichovunja TAMBWE..

Tokeo la picha la TAMBWE IMAGE YA KIBENDERA
Share on Google Plus

About KASSIM OMARY

HII NI BLOG AMBAYO ITAKUWA INAKUPA HABARI MOTOMOTO ZA KIMICHEZO NA HABARI KWA UJUMLA
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 Maoni:

Post a Comment