WACHINA WAWACHANGANYA WACHEZAJI KWA MPUNGA MNONO.

Tokeo la picha la pepe image
Kila kukicha Wachina wanaendelea kuwachanganya wachezaji mbalimbali katika timu zao. Hii inathibitishwa kwa wachina kutoa fedha nyingi katika usajiri wao, maana beki wa kati wa Real Madrid, Pepe naye anafikiria kwenda China.

Hii ni siku chache baada ya Carlos Tevez kukamilisha usajili wa kwenda China na atakuwa akipokea euro million 30 kila msimu.
 Tokeo la picha la tevez image

Taarifa zinaeleza, Pepe anafikiria kwenda China na kujiunga na moja ya timu zinazoshiriki Super League.

Wachina wanaonekana kuanza kuwachanganya wachezaji mbalimbali kupitia fedha zao.


Klabu za China zimekuwa zikiwalenga wachezaji mbalimbali maarufu kutoka barani Ulaya wakiwemo wale wazaliwa wa Amerika Kusini ambao wanacheza barani Ulaya.
Share on Google Plus

About KASSIM OMARY

HII NI BLOG AMBAYO ITAKUWA INAKUPA HABARI MOTOMOTO ZA KIMICHEZO NA HABARI KWA UJUMLA
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 Maoni:

Post a Comment