OSCAR AWEKA REKODI YA USAJIRI KATIKA CLUB YA SHANGHAI SIPG NCHINI CHINA



Hatimaye kiungo mshambuliaji wa Chelsea, Oscar ameweka rekodi ya usajili nchini China.

Oscar raia wa Brazil, amejiunga na Shanghai SIPG kwa kitita cha pauni million 52.

Kiungo huyo anajiunga na kocha wake wa zamani Andre Villas-Boas aliyewahi kuinoa Chelsea.
 Tokeo la picha la picha za oscar

TAKWIMU:
Mechi: 203
Mabao: 38

Makombe: Europa League (2012), League Cup (2015), Premier League (2015) 
Share on Google Plus

About KASSIM OMARY

HII NI BLOG AMBAYO ITAKUWA INAKUPA HABARI MOTOMOTO ZA KIMICHEZO NA HABARI KWA UJUMLA
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 Maoni:

Post a Comment