MOYES AMSAINI JOLEON LESCOTT

 Tokeo la picha la lescott image in sundeland
Sunderland imemsaini Beki wa zamani wa England, Joleon Lescott, ambae mara ya mwisho aliichezea Aston Villa.

Lescott, mwenye Miaka 34, aliwahi kuwa Mchezaji chini ya Meneja wa sasa wa Sunderland David Moyes huko Everton kati ya Mwaka 2006 na 2009.
 Tokeo la picha la lescott image in sundeland

Msimu uliopita, Lescott aliondoka Villa kujiunga na Timu ya Greece AEK Athens na kucheza Mechi 4 tu na kuumia na Mkataba wake kuvunjwa Novemba Mwaka Jana.

Sunderland, ambao wako mkiani mwa EPL, Ligi Kuu England, imemsaini Beki huyo kwa Mkataba mfupi wa hadi mwishoni mwa Msimu.

 Tokeo la picha la lescott image in sundeland
Share on Google Plus

About KASSIM OMARY

HII NI BLOG AMBAYO ITAKUWA INAKUPA HABARI MOTOMOTO ZA KIMICHEZO NA HABARI KWA UJUMLA
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 Maoni:

Post a Comment