SIMBA DIMBANI LEO NA TAIFA JANG'OMBE MAPINDUZI CUP.

 Tokeo la picha la SIMBA FC IMAGE
MASHINDANO ya Kombe la Mapinduzi ya kuenzi Mapinduzi tukufu ya Visiwa vya Zanzibar na Pemba ambayo yalianza Juzi huko Amaan Stadium, Zanzibar kwa Mechi moja ya Kundi A, Leo tena yapo dimbani kwa Mechi nyingine mbili za Kundi A ambazo pia zitachezwa Uwanja wa Amaan.
 
Juzi Usiku, Timu pinzani huko Zanzibar zilipambana na Taifa Jang’ombe kuifunga Jang’ombe Boys 1-0.

Leo, Saa 10 Jioni ni KVZ na URA ya Uganda, ambao ndio Mabingwa Watetezi, na Usiku Saa 2 na Nusu ni Simba na Taifa Jang’ombe.
 Tokeo la picha la SIMBA FC IMAGE

MAKUNDI YA MAPINDUZI CUP:

KUNDI A
-Simba
-Taifa Jang;ombe
-Jang’ombe Boys
-KVZ
-URA [Mabingwa Watetezi, Toka Uganda]

KUNDI B
-Yanga
-Azam FC
-Jamhuri
-Zimamoto
Share on Google Plus

About KASSIM OMARY

HII NI BLOG AMBAYO ITAKUWA INAKUPA HABARI MOTOMOTO ZA KIMICHEZO NA HABARI KWA UJUMLA
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 Maoni:

Post a Comment