SIMBA YAENDELEA KUJIIMARISHA KILELENI MWA VPL

Tokeo la picha la muzamil yassin picha
MUZAMIRU YASSIN


VINARA wa VPL, Ligi Kuu Vodacom, Simba, wamezidi kuyoyoma kileleni mwa Ligi hiyo baada ya jana kwenye Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaa kuifunga JKT Ruvu 1-0.
Bao hilo pekee la Simba lilifungwa na Muzamil Yassin kwenye Dakika ya 45 na kuipaisha kwa Pointi 4 mbele ya Timu ya Pili Yanga

Mbali ya Mechi hiyo, pia jana zilikiuwepo Mechi nyingine 5 za VPL kwa Timu za Kagera Sugar, Mtibwa Sugar na Mwadui kuibuka na ushindi huku Mechi 2 zikiwa ni Sare.
Mbeya City ilitoka 0-0 na Toto Africans huko Sokoine, Mbeya na kule Uwanja wa Majimaji Songea Majimaji FC kutoka 1-1 na Azam FC.
VPL itaendelea Jumatatu kwa Mechi moja huko Mabatini, Mlandizi kwa Ruvu Shooting kukipiga na Tanzania Prisons.

VPL-DES24


































 MATOKEO YA MECHI NYINGINE;

Ligi Kuu Vodacom
Jumamosi Desemba 24
Mbeya City 0 Toto Africans 0 [Sokoine, Mbeya]

Kagera Sugar 1 Stand United 0 [Kaitaba, Bukoba]

Ndanda FC 0 Mtibwa Sugar 2 [Nangwanda, Mtwara]

Simba 1 JKT Ruvu 0[Uhuru Stadium, Dar es Salaam]

Majimaji FC 1 Azam FC 1 [Majimaji, Songea]

Mwadui FC 1 Mbao FC 0 [Mwadui Complex, Mwadui]
*****************************************


RATIBA NYINGINE ZA VODACOM PREMIER LEAGUE KAMA IFUATAVYO;

Ligi Kuu Vodacom
Jumatatu Desemba 26
Ruvu Shooting v Tanzania Prisons [Mabatini, Mlandazi]

Jumatano Desemba 28
Yanga v Ndanda FC [Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam]

Mtibwa Sugar v Majimaji FC [Manungu, Manungu]

Alhamisi Desemba 29
Ruvu Shooting v Simba
Azam FC v Tanzania Prisons [Azam Complex, Chamazi, Dar es Salaam]

Jumamosi Desemba 31
Mwadui FC v Kagera Sugar [Mwadui Complex, Mwadui]

African Lyon v JKT Ruvu [Uwanja wa Uhuru, Dar es Salaam]

Mbeya City v Mbao FC [Sokoine, Mbeya]

Jumapili Januari 1
Toto African v Stand United [CCM Kirumba, Mwanza]
Share on Google Plus

About KASSIM OMARY

HII NI BLOG AMBAYO ITAKUWA INAKUPA HABARI MOTOMOTO ZA KIMICHEZO NA HABARI KWA UJUMLA
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 Maoni:

Post a Comment