Azam FC imefunga Simba kwa bao 1-0 katika mechi ya fainali ya Kombe la Mapinduzi kwenye Uwanja wa Amaan mjini Zanzibar.
Kwa
Ushindi huo, Azam FC wanakuwa mabingwa Mapinduzi 2017 lakini wanaweka
rekodi ya kubeba kombe hilo bila ya kupoteza mchezo wala kufungwa hata
bao moja.
0 Maoni:
Post a Comment