Mashabiki wa Man United WAICHARUKIA ADIDAS.


Mashabiki wa Man United, wameiandikia barua klabu yao wakiitaka kuzungumza na wadhamini wao, Adidas kuacha kumchanganya kiungo Paul Pogba.

Mashabiki hao wamesisitiza kuwa Pogba amekuwa busy na kunyoa mitindo mipya ya nywele kila wiki ili kumfanya awe gumzo na kuitangaza Adidas.

Adidas ambayo ni kampuni kubwa zaidi ya vifaa vya michezo duniani, inamdhamini Pogba kama ilivyo kwa Man Unites.


Hivi karibuni, Adidas imeelezwa kuwa ikifanya mipango ya kila aina kufanya Pogba awe maarufu zaidi ili nayo iendelee kujitangaza zaidi.
Share on Google Plus

About KASSIM OMARY

HII NI BLOG AMBAYO ITAKUWA INAKUPA HABARI MOTOMOTO ZA KIMICHEZO NA HABARI KWA UJUMLA
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 Maoni:

Post a Comment