YANGA YAKAUSHA MAJI MJINI SONGEA.

Tokeo la picha la majimaji vs yanga image

VPL, Ligi Kuu Vodacom, Jana imeendelea huko Uwanja wa Majima Mjini Songea wakati Majimaji FC ilipofungwa 1-0 na Mabingwa Watetezi Yanga.

Bao la ushindi la Yanga lilipachikwa Dakika ya 14 na Deus Kaseke.
 Tokeo la picha la deus kaseke image
 
Matokeo haya yamewaweka Yanga kuwa Pointi 1 nyuma ya Vinara Simba ambao leo wapo huko Jamhuri Jijini Morogoro kucheza na Mtibwa Sugar.
Mechi nyingine ambayo pia itachezwa leo ni huko Chamazi kwenye Viunga vya Jiji la Dar es Salaam kati ya Azam FC na Mbeya City.
Share on Google Plus

About KASSIM OMARY

HII NI BLOG AMBAYO ITAKUWA INAKUPA HABARI MOTOMOTO ZA KIMICHEZO NA HABARI KWA UJUMLA
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 Maoni:

Post a Comment