MWANJALE AWA MCHEZAJI BORA WA MWEZI DISEMBA SIMBA



Beki Method MWanjale amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa kikosi cha Simba kwa mwezi Desemba, 2016.

Mwanjale raia wa Zimbabwe ameonyesha ukomavu katika kikosi cha Simba, hasa aina ya uchezaji wake.


Simba imekuwa na kawaida ya kuchagua mchezaji wa mwezi na kumzawadiwa na kweli Mwanjali alistahili.
Share on Google Plus

About KASSIM OMARY

HII NI BLOG AMBAYO ITAKUWA INAKUPA HABARI MOTOMOTO ZA KIMICHEZO NA HABARI KWA UJUMLA
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 Maoni:

Post a Comment