REAL MADRID WAANZA MWAKA KWA KISHINDO.

 Tokeo la picha la christian lonardo image
Real Madrid wameikamata Rekodi ya Barcelona ya kutofungwa katika Mechi 39 za Mashindano yote baada ya kuitandika Granada 5-0 katika Mechi yao ya kwanza ya Mwaka 2017 ya La Liga iliyochezwa Santiago Bernabeu Jijini Madrid Nchini Spain.

Ushindi huo umeifanya Real izidi kuongoza La Liga sasa ikiwa Pointi 6 mbele ya Timu ya Pili FC Barcelona ambao ndio Mabingwa Watetezi.
 
 Bao za Real zilipachikwa wavuni na Isco, Dakika za 12 na 31, Karim Benzema, 20, Cristiano Ronaldo, 27 na Casemiro, 58.
 Tokeo la picha la christian lonardo image
Share on Google Plus

About KASSIM OMARY

HII NI BLOG AMBAYO ITAKUWA INAKUPA HABARI MOTOMOTO ZA KIMICHEZO NA HABARI KWA UJUMLA
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 Maoni:

Post a Comment