YANGA YALAMBISHWA KONI ZA AZAM.

dsc_0158

Kombe la mapinduzi linaendelea kuwa na mvuto zaidi kwani kila kukicha tunaona utofauti na maendeleo mazuri ya soka kwa vilabu vya Tanzania vinavyoshiriki kombe la mapinduzi. Hii ndio inayoleta mvuto katika kombe hili huku kila timu ikitaka ikacheze hatua inayofuata.

January 7, 2017 Azam ilitoa kipigo kikubwa kwa Yanga cha magoli 4-0 kwenye mchezo wa kukamilisha hatua ya makundi ya mashindano ya Mapinduzi Cup.
 Tokeo la picha la kikosi cha yanga cha mapinduzi cup dhidi ya azam image
Share on Google Plus

About KASSIM OMARY

HII NI BLOG AMBAYO ITAKUWA INAKUPA HABARI MOTOMOTO ZA KIMICHEZO NA HABARI KWA UJUMLA
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 Maoni:

Post a Comment