UMRI KWAKE SIO TATIZO MIURA ASAINI MKATABA MPYA AKIWA NA UMRI WA MIAKA 50.


Tokeo la picha la Kazuyoshi Miura IMAGE
 
Kazuyoshi Miura mchezaji raia wa Japan anayecheza katika klabu ya Yokohama ameendelea kufunga ingawa amekuwa ni mchezaji mwenye umri mkubwa sana katika ligi ya nchini Japan,

Miura ambaye amefunga akiwa na umri wa miaka 49 amefikisha umri wa miaka umri wa 50 mwezi wa Februari amefanikiwa kuongeza mkataba mpya na timu yake huku akisubiria msimu mpya unaoanza mwezi wa pili.

Miura ambaye amewahi kucheza barani ulaya amecheza mechi 89 kwa Japan akiifungia magoli 55.

Miura ataitumikia klabu ya Yokohama katika msimu ujao ambao kwake atakuwa ni msimu wa  32 katika mpira wa  kulipiwa. Miura alistaafu kuchezea soka miaka 17 iliyopita na hivyo nguvu zake nyingi anazitumia kwa klabu yake ya Yokohama.   

Kutokana na Miura kuwa na umri huo atakuwa anaingia kwenye list ya wachezaji wengi wenye umri mkubwa Duniani huku umri mkubwa zaidi ukiwa ni mika 53. 

Tokeo la picha la OVER 40s XI IMAGE
Share on Google Plus

About KASSIM OMARY

HII NI BLOG AMBAYO ITAKUWA INAKUPA HABARI MOTOMOTO ZA KIMICHEZO NA HABARI KWA UJUMLA
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 Maoni:

Post a Comment