WENGER AWEKA HADHARANI NIA YA KUMSAJILI KINDA ANAYEMFANANISHA NA THIERRY HENRY.

Tokeo la picha la Kylian Mbappe IMAGE
Kocha wa Arsenal, Arsene Wenger ameweka hadharani nia yake ya kumsajili mchezaji kinda wa Monaco, Kylian Mbappe.

Wenger amesema Mbappe mwenye umri wa miaka 18, anamfananisha na gwiji wa Arsenal, Thierry Henry. 

Ameweka wazi nia yake hiyo kijana huyo aliyefunga mabao sita katika mechi 19, atakuwa hatari zaidi kila anapopata uzoefu.


Inaonekana Arsenal na Monaco wameanza mazungumzo ya awali kwa ajili ya usajili wa kinda huyo.

Share on Google Plus

About KASSIM OMARY

HII NI BLOG AMBAYO ITAKUWA INAKUPA HABARI MOTOMOTO ZA KIMICHEZO NA HABARI KWA UJUMLA
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 Maoni:

Post a Comment