GRIEZMANN NDIYE KINARA WA MABAO TOKEA PEMBENI YA LANGO




Katika ligi zote 5 kubwa za Ulaya, Antoine Griezmann wa Atletico Madrid ndiye anaongoza kwa kufunga mabao mengi kutoka pembeni. Amefunga 6.

Griezmann ni mmoja wa wachezaji wenye uwezo mkubwa wa kupiga mashuti akitokea pembeni mwa uwanja.

Wengine wamekuwa wakifanya hivyo kwa kiwango kikubwa ni Cristiano Ronaldo wa Real Madrid, Lionel Messi wa Barcelona na Arjen Robben wa Bayern Munich.
Share on Google Plus

About KASSIM OMARY

HII NI BLOG AMBAYO ITAKUWA INAKUPA HABARI MOTOMOTO ZA KIMICHEZO NA HABARI KWA UJUMLA
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 Maoni:

Post a Comment