KWA TAARIFA YAKO, BRAZIL HAWAJAWAHI KUKOSA KOMBE LA DUNIA.

 
Katika kumbukumbu zako za mpira wa miguu Brazil ndiyo timu ya taifa ambayo imefuzu kucheza katika michuano ya Kombe la Dunia tokea mwaka 1930 ilipoanzishwa.


Licha ya kwamba ndiyo inayoongoza kwa kubeba makombe ya michuano hiyo, haijawahi kukosa hata mara moja.
Share on Google Plus

About KASSIM OMARY

HII NI BLOG AMBAYO ITAKUWA INAKUPA HABARI MOTOMOTO ZA KIMICHEZO NA HABARI KWA UJUMLA
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 Maoni:

Post a Comment