OZIL AKATAA DAU LA €280.000 KWA WIKI LA ASERNAL

 

Kiungo mshambuliaji wa Arsenal,  Mesut Ozil amepewa dau zuri na klabu yake ya Asernal ya pauni laki 280.000 kwa wiki ili kusaini mkataba mpya. 

Ozil amebakiwa na miezi 15 tu sasa ili kumaliza mkataba wake huku akiwa hana haraka ya kutaka kuongeza mkataba na Asernal ikisemekana kuwa anataka kuondoka klabuni hapo.
Zaidi ya hapo inasemekana pia anakataa kuongeza mkataba mpya akiwa anasubiri ofa nyingine huku Chelsea,  PSG na Juventus wakihusishwa. 
 

Ozil ndiye anayelipwa pesa nyingi klabuni hapo kwa sasa akiwa anapokea pauni 140.000 kwa wiki ni miongoni kwa wale wanaoweza kuondoka mwishoni mwa msimu akiwepo Alexis Sanchez na Oxlade Chamberlain.
Share on Google Plus

About KASSIM OMARY

HII NI BLOG AMBAYO ITAKUWA INAKUPA HABARI MOTOMOTO ZA KIMICHEZO NA HABARI KWA UJUMLA
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 Maoni:

Post a Comment