KUELEKEA VPL LEO YA YANGA SC VS AZAM FC ANGALIA REKODI ZAO ZOTE

  Tokeo la picha la AZAM FC VS YANGA FC IMAGE
 
1. LIGI KUU
Yanga na Azam wamekutana mara 18 Katika michezo 18 Yanga ameshida 5 na Azam ameshida Mara 5 na wakitoa Sare Mara 8 kila timu imefunga magoli 25.

2. KAGAME CUP
Timu ya Yanga na Azam zimekutana mara mbili (2) mwaka 2012 fainali ya kagame Cup Yanga ilishinda magoli mawili Kwa moja,  na mwaka 2015 robo fainali ya kombe la kagame Azam walishida Kwa Penati tano Kwa tatu za Yanga kama ifuatavyo 
2012: Yanga 2-0 Azam
2015: Yanga 0-0 Azam (pen.3-5)



3. NGAO YA JAMII
Ngao ya Jamii ufunguzi wa ligi wamekutana  mara 4 Yanga imeshida Mara tatu Huku Azam wakifanikiwa kushinda Mara moja.  
2013: Yanga 1-0 Azam
2014: Yanga 3-0 Azam
2015: Yanga 0-0 Azam (pen.8-7)
2016: Yanga 2-2 Azam (pen.1-3)

4. MAPINDUZI CUP 
Timu za Yanga na Azam zimekutana  mara 4 Katika kombe la Mapinduzi , Azam amefanikiwa kushinda Mara Mbili Huku Yanga akishinda Mara Moja na wametoa Sare Mara moja kama ifuatavyo 
2011: Yanga 2-1 Azam
2012: Yanga 0-3 Azam
2016: Yanga 1-1 Azam
2017: Yanga 0-4 Azam

5. MECHI YA HISANI KUCHANGIA WALEMAVU
  Mechi Hii ilikuwa mwaka 2011 Yanga na Azam walikutana Kwa lengo la kuchangia Walemavu  Katika mchezo huo Azam ilishinda Kwa magoli mawili Kwa bila. 

6. TFF ASFC
Mashindano mapya ambayo yanajulikana kama Tff (Azam Sport Federation Cup) ikiwa bingwa anashiriki kombe la shirikisho mwaka Jana 2016 Azam na Yanga walikutana Fainali na Yanga walishinda Kwa magoli 3 Kwa moja.



WAFUNGAJI WANAOONGOZA AZAM NA YANGA 
1. John Bocco: 
-Mabao 13. 
            10=ligi kuu 10
              2=mapinduzi Cup 
              1=Mechi ya hisani kuchangia walemavu

2. Kipre Tchetche
-Mabao 8
              5=Ligi Kuu 
              3=Mapinduzi Cup 

3. Didier Kavumbagu
-Mabao 5
             4=Ligi Kuu ( ikiwa Yanga 3, Azam 1)
              1=TFF Cup 

4. Hamis Kiiza: 
-Mabao 5
             4=Ligi Kuu 
             1=Kagame Cup 

5. Boniface Ambani
Mabao 4
              4= ligi kuu
JUMLA WAMEKUTANA MARA 30
YANGA AMESHINDA MARA 11
AZAM AMESHINDA MARA 10
WAMETOA SARE MARA 9
YANGA IMEFUNGA MAGOLI 39
AZAM AMEFUNGA MAGOLI 38

MSIMAMO 
Team        P    W   D    L     F     A    GD       
YANGA    30  11   9   10   39   38    1   
AZAM      30  10   9   11   38   39   -1

Je record ip inaongezeka Leo ? 
Yanga win 
Azam win 
Or Draw
Share on Google Plus

About KASSIM OMARY

HII NI BLOG AMBAYO ITAKUWA INAKUPA HABARI MOTOMOTO ZA KIMICHEZO NA HABARI KWA UJUMLA
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 Maoni:

Post a Comment